WALIOANDIKWA MAGAZETINI LEO MARCH 5 NI RAY C, MUUAJI WA PADRI ZNZ, SITTA, WALICHOSEMA SIMBA NA MENGINE.. YASOME HAPA
Posted: 5th March 2013 by MillardAyo in NewsTWEETS 30 ZA ACCOUNT FEKI YA TANESCO, IPI KATI YA HIZI NI NAMBA MOJA KWAKO?
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in News
Hii ni Account feki ambayo
inatumia jina la Tanesco lakini pamoja na kwamba sio account yao,
imechekesha sana watu kutokana na majibu ambayo imekua ikitoa ikijidai
Tanesco kwa watu waliouliza maswali kama wateja. sasa nataka upige kura
kwa kuniambia ni tweet namba ngapi kati ya zote hizi imekufurahisha.
WALE WA D’BANJ, HII NI SEHEMU YA WIMBO WAKE MPYA – DON’T TELL ME NONSENSE
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in News
Imetangazwa kwamba staa wa
Nigeria D’Banj march 30 2014 ndio inatoka album yake ya D’Kings Men,
hiyo hapo chini ni moja ya hits ndani yake….
KAMA ULIMIS KUSIKILIZA U HEARD NA 255 ZA XXL YA CLOUDS FM 4TH MARCH, HIZI HAPA
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in NewsPia unaweza kusikiliza u heard www.makorokocho.blogspot.com
USWAZI VISA HAVIISHI, ISIKILIZE HAPA HEKAHEKA YA HUYU MGANGA LEO MARCH 4 ON LEO TENA
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in NewsWATU WANGU WA MAN U, HII INAWAHUSU KUHUSU VAN PERSIENA GIGGS KESHO
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in NewsHAYA NDIO MANENO MAFUPI YA DIAMOND KUHUSU KUNUNUA GARI JINGINE NA GHARAMA YA NYUMBA ALIYOMJENGEA MAMA
Posted: 4th March 2013 by MillardAyo in News
Kupitia post hii millardayo.com
inakujulisha kwamba mwimbaji staa ambae ndio mwimbaji Mtanzania
alieongoza kwa kuandikwa sana kwenye internet mwaka 2012, Diamond
Platnums ametangaza mpango wa kununua gari jingine.
Tofauti na Prado aliyoinunua june 2012, Diamond hajataka kutaja ni aina gani ya gari aliloliagiza sasa hivi lakini kakubali kwamba kaliagiza Japan na litakua la gharama ya juu kuliko Prado.
Ukiachia mbali hilo gari analoliagiza, Diamond amekiri pia kwamba amemaliza kuijenga nyumba yenye gharama ya milioni mia mbili sitini ambayo ameijenga maalum kwa ajili ya mama yake mzazi.
Diamond ambae amekua akiandamwa na maneno maneno ambayo anaamini wanaoyasambaza ni wasiompenda amesema “mimi nikimtanguliza Mwenyenzi Mungu mbele ata mtu atake kunifanya kitu gani haweziii mpaka aandike Mwenyenzi Mungu mwenyewe, ndio maana wao kila wakipiga vita… mimi nazidi kuwa maarufu, nazidi kuwa na hela… sasa hivi nabadilisha Prado nanunua gari jingine….. jamani mtaiona”
Unaweza kumsikiliza mwenyewe akiongea hapa chini.
Tofauti na Prado aliyoinunua june 2012, Diamond hajataka kutaja ni aina gani ya gari aliloliagiza sasa hivi lakini kakubali kwamba kaliagiza Japan na litakua la gharama ya juu kuliko Prado.
Ukiachia mbali hilo gari analoliagiza, Diamond amekiri pia kwamba amemaliza kuijenga nyumba yenye gharama ya milioni mia mbili sitini ambayo ameijenga maalum kwa ajili ya mama yake mzazi.
Diamond ambae amekua akiandamwa na maneno maneno ambayo anaamini wanaoyasambaza ni wasiompenda amesema “mimi nikimtanguliza Mwenyenzi Mungu mbele ata mtu atake kunifanya kitu gani haweziii mpaka aandike Mwenyenzi Mungu mwenyewe, ndio maana wao kila wakipiga vita… mimi nazidi kuwa maarufu, nazidi kuwa na hela… sasa hivi nabadilisha Prado nanunua gari jingine….. jamani mtaiona”
Unaweza kumsikiliza mwenyewe akiongea hapa chini.
No comments:
Post a Comment